Kaya Flavaz

Kwa Uhondo Wa Habari Za Sanaa Ya Mombasani.

Sunday, July 15, 2012

SIZE 8 NA HUSSEIN MACHOZI NI WACHUMBA?


SIZE 8 & HUSSEIN MACHOZI
SIZE 8 NA HUSSEIN MACHOZI NI WACHUMBA?
Uvumi unadai kuwa sababu kuu iliyomfanya mwanamziki wa bongo Flava Hussein Machozi kuhamia Kenya ni kipusa mwanamziki wa hapa nchini Linet aka Size 8.

Hussein anadai amepata mwanamke aliyekuwa akimtafuta kwa mda mrefu maishani mwake na simwengine bali kipusa huyu aliyeteka taifa na kibao chake “Nawapa Vidonge”.

Hussein akana madai kwamba ameolewa na Size 8 na kufichua hivi karibuni atampeleka kwao Singida, Manyoni Tanzania akamtambulishe kwa wazazi wake.

Kwa mengi Zaidi usikose kuskiza "Show Nambari Moja Mkoani Pwani™" - "Kaya Flavaz®" ndani ya RADIOKAYA 93.1Fm Msa 99.7Mlnd - Kitovu Cha Umoja Wa Pwani ™.9AM - PM. MON-FRI


No comments:

Post a Comment