Kaya Flavaz

Kwa Uhondo Wa Habari Za Sanaa Ya Mombasani.

Tuesday, April 3, 2012

SUDIBOY AACHILIA WIMBO MPYA

SUDIBOY
SUDIBOY AACHILIA WIMBO MPYA KWA JINA " ACHIA NGAZI"


Msanii wa mziki wa Mombasani SUDIBOY aachilia wimbo mpya baada ya kimya cha mda mrefu.


Akizungumza na KAYA FLAVAZ, SUDIBOY ambaye kwa sasa anatamba na "collabo" aliyofanya na msanii mwengine wa Mombasani kwa jina ROJO kwa jina VAMPIRE, asema kuwa anaimani kazi yake mpya itamletea mafanikio ya kimziki.


SUDIBOY afichua kuwa wimbo wake mpya unajulikana kama ACHIA NGAZI na amemshirikisha msanii mwengine wa mziki wa Mombasani CHIKUZEE.



Kwa mengi Zaidi usikose kumskiza Sista Shaniz a.k.a Anti-Virus katika "Show Nambari Moja Mkoani Pwani™" - "Kaya Flavaz®" ndani ya RADIOKAYA 93.1Fm Msa 99.7Mlnd - "Kitovu Cha Umoja Wa Pwani ™.

DOWNLOAD: SUDIBOY&CHIKUZEE - ACHIA NGAZI

No comments:

Post a Comment