Kaya Flavaz

Kwa Uhondo Wa Habari Za Sanaa Ya Mombasani.

Wednesday, June 20, 2012

DIAMOND ANUNUA GARI LA KSH 3.1 MILLION

DIAMOND PLATINUMZ
DIAMOND ANUNUA GARI JIPYA:
Staa wa muziki wa kizazi kipya nchini Tz kwa sasa anayepeta zaidi Naseeb Abdul ‘Diamond  Platinumz’ amenunua gari jipya lenye thamani ya shilingi milioni 3.1 pesa za Kenya ama za Tsh 60,00000(milioni 60)

Gari hilo ni aina ya Land Cruiser Prado TX 2006 na alilipokea rasmi kutoka kwa wakala aliyekuwa akishughulikia mpango mzima  wa  kuliingiza Bongo.
LAND CRUISER PRADO TX 2006
Akifichua hayo mda mfupi baada ya kupokea  gari hilo Diamond asema amekua na mipango ya kumiliki gari design hiyo lakini kulikua na mambo kadhaa ambayo alkua anapanga kukamilisha kabla ya kununua gari hilo.

Kwa mengi Zaidi usikose kuskiza "Show Nambari Moja Mkoani Pwani™" - "Kaya Flavaz®" ndani ya RADIOKAYA 93.1Fm Msa 99.7Mlnd - Kitovu Cha Umoja Wa Pwani ™.9AM - PM. MON-FRI



1 comment:

  1. Galaxy Watch 3 Titanium | Titanium-arts
    Samsung has titanium plate flat iron announced the titanium curling iron new Galaxy Note citizen eco drive titanium watch 3, a $300 premium model, the flagship device of the premium company. The model of revlon titanium max edition the flagship device titanium ingot

    ReplyDelete