Kaya Flavaz

Kwa Uhondo Wa Habari Za Sanaa Ya Mombasani.

Thursday, July 26, 2012

LINEX NI MKULIMA

LINEX
 Mbali na kufanya mziki, msanii wa bongo flava nchni Tanzania maarufu kwa jina Linex afichua kua yeye ni mkulima.

Msanii huyu asema kuwa, yeye huendeleza kilimo cha vitunguu na karoti.

Linex afichua kuwa anaendeleza shughuli zake za ukilima katika sehemu ya Kigoma nchini Tanzania.

Akizungumzia faida za shughuli zake za ukilima Linex afichua kuwa alianza na mtaji wa shilingi milioni 3 za Tanzania amabazo ni sawa na shilingi166,000/= hela za Kenya.

Kwa sasa Linex asema biashara yake ya ukulima inaingiza faida ya milioni 7 hela za Tanzania ambazo ni sawa na shilingi 388,000/= hela za Kenya.


Kwa mengi Zaidi usikose kuskiza "Show Nambari Moja Mkoani Pwani™" - "Kaya Flavaz®" ndani ya RADIOKAYA 93.1Fm Msa 99.7Mlnd - Kitovu Cha Umoja Wa Pwani ™.9AM - PM. MON-FRI

No comments:

Post a Comment