Kaya Flavaz

Kwa Uhondo Wa Habari Za Sanaa Ya Mombasani.

Thursday, July 26, 2012

Z ANTO AJENGA NYUMBA MBILI

Z ANTO
Msanii wa mziki wa kizazi kipya nchini Tanzania Z Anto afichua kuwa amejenga nyumba mbili kutokana na mapato yake ya kimziki.

Akifichua haya, Z Anto asema moja ya nyumba hizo imemgharimu kiwango kisichopungua milioni 45 hela za Tanzania, ambazo ni sawia na shilingi 250,000/=

Z Anto asema kwa sasa nyumba hiyo imekamilika na ameipangisha, huku akiendelea na ujenzi wa nyumba ya pili.

Kwa mengi Zaidi usikose kuskiza "Show Nambari Moja Mkoani Pwani™" - "Kaya Flavaz®" ndani ya RADIOKAYA 93.1Fm Msa 99.7Mlnd - Kitovu Cha Umoja Wa Pwani ™.9AM - PM. MON-FRI


No comments:

Post a Comment