Kaya Flavaz

Kwa Uhondo Wa Habari Za Sanaa Ya Mombasani.

Tuesday, February 21, 2012

AMINI ATIMULIWA TANZANIA HOUSE OF TALENT



AMINI ACHUJWA KUTOKA JUMBA LA SANAA TANZANIA.


Siku chache baada ya kuripotiwa kwa msanii Amini kujadiliwa na uongozi wa THT Tanzania kufuatia madai ya utovu wa nidhamu, sasa imebainika kuwa msanii huyo ametimuliwa kutoka kwa THT.

Akithibitisha kutimuliwa kwake, Amini asema kuwa uongozi wa THT umemuonea na haujamtendea haki kutokana na mabavu yaliyotumika katika kujadili swala lake.

Amini asistiza hajafanya kosa na kufichua kuwa atafanya mziki kibinafsi.

Kwa mengi Zaidi usikose kumskiza Sista Shaniz a.k.a Anti-Virus katika "Show Nambari Moja Mkoani Pwani™" - "Kaya Flavaz®" ndani ya RADIOKAYA 93.1Fm Msa 99.7Mlnd - "Kitovu Cha Umoja Wa Pwani ™.

No comments:

Post a Comment