Kaya Flavaz

Kwa Uhondo Wa Habari Za Sanaa Ya Mombasani.

Friday, February 24, 2012

MR. BLUE KUBADILI STYLE YA MZIKI


Mr. Blue
MR. ARUDIA STYLE YAKE YA KUIMBA.

Msanii wa Bongo Flava Mr. Blue a.k.a Byser, afichua kuwa anajaribu kubadilisha style ya muziki anayofanya kutoka kuimba hadi kurap.

Mr. Blue asema anatamani sana kurudi kwenye style yake ya zamani ambayo ndio iliyomtoa katika  ulimwengu wa muziki.

Kusistiza hatua yake Mr.  Blue afichua kuwa hivi karibuni atakua ana’release wimbo mpya ambao utaweka wazi style yake mpya.

 “Sihitaji kuimba kwa sasa kwa sababu najua style ambayo awali iliniweka juu kwenye chart, mashabiki wangu wataona utofauti wangu katika ngoma mpya ambayo itakuwa hewani soon,” alisema.

Kwa mengi Zaidi usikose kumskiza Sista Shaniz a.k.a Anti-Virus katika "Show Nambari Moja Mkoani Pwani™" - "Kaya Flavaz®" ndani ya RADIOKAYA 93.1Fm Msa 99.7Mlnd - "Kitovu Cha Umoja Wa Pwani ™.

No comments:

Post a Comment