Kaya Flavaz

Kwa Uhondo Wa Habari Za Sanaa Ya Mombasani.

Monday, March 5, 2012

JOSE CHAMELEONE AFUNGUA KAMPUNI YA SIMU



JOSE CHAMELEONE:

Msanii mkali nchini Uganda Jose Chameleone amefungua kampuni mpya ya simu za rununu.

Inaripotiwa kwamba Chameleone anaagiza simu za rununu kutoka nchini China na atakua anazisambaza nchini Uganda.

Kulingana na habari kutoka nchini Uganda simu hizo ambazo zitaitwa kwa jina “Chameleone Phone” zitakuwa na rangi tofauti tofauti mithili ya kinyonga.

Msanii huyo afichua mauzo ya simu hizo za “Chameleone” yanatarajiwa kuanza mwezi wa Aprili

No comments:

Post a Comment