Kaya Flavaz

Kwa Uhondo Wa Habari Za Sanaa Ya Mombasani.

Wednesday, March 7, 2012

MSANII WA BONGO AJIPA NA MSANII WA KENYA



BABY MADAHA
BABY MADAHA AJIPA NA KIFUA CHA NAMELESS

NYOTA wa muziki anayetingisha pia kwenye anga la filamu za Kibongo, Baby Joseph Madaha (pichani) amefunguka kuwa nafasi aliyopewa ya kukilalia kifua cha mwanamuziki, David Mathenge ‘Nameless’ alipozuru Bongo hivi karibuni, imemfanya achizike na kuikumbuka hadi leo.

Baby Madaha afichua kuwa walipeana mda wa kutosha kiasi ambacho kinamfanya amkumbuke  Nameless.

“ninawasiliana naye kwa mtandao wa Facebook kwa kweli nilijisikia freshi sana  wakati nilipokilalia kifua chake pale jukwaani,”

Hata hivyo, Baby Madaha asema uhusiano wake na Nameless ni  wakawaida wala haujavuka…mpaka.

No comments:

Post a Comment