Kaya Flavaz

Kwa Uhondo Wa Habari Za Sanaa Ya Mombasani.

Monday, April 30, 2012

FASH P AACHILIA WIMBO MPYA




FASH P 
FASH P AACHILIA WIMBO MPYA
Majina yangu kamili naitwa Benjamin Thoya Baya na nilizaliwa mwaka wa 1989 tarehe 5 mwezi wa kwanza.


Mimi ni msanii kutoka Malindi na nilianza mziki mnamo mwaka wa 2007 baada ya kumaliza masomo yangu ya sekondari.UKABILA ndio ngoma yangu latest ambayo nimemshirikisha msanii wa kike Baby Moe.Ngoma Hii imefanywa chini ya mkono wa producer Jay Crak wa Crack Sound Records (KILIFI)

Mbali na usanii mimi pia ni muigizaji na pia nasomea ualimu katika chuo cha ST Marks TTC Kigari kilichoko Embu.Katika mashindano yaliyojumuisha Vyuo vya ualimu vya eastern province ya drama, mimi niliibuka kama muigizaji bora wa pili wa tamasha hiyo.



Kwa mengi Zaidi usikose kumskiza Sista Shaniz a.k.a Anti-Virus katika "Show Nambari Moja Mkoani Pwani™" - "Kaya Flavaz®" ndani ya RADIOKAYA 93.1Fm Msa 99.7Mlnd - "Kitovu Cha Umoja Wa Pwani ™.


DOWNLOAD: FASH P - UKABILA

No comments:

Post a Comment