Kaya Flavaz

Kwa Uhondo Wa Habari Za Sanaa Ya Mombasani.

Tuesday, April 3, 2012

SULTAN WA PWANI AACHILIA SINGLE YAKE


SULTAN WA PWANI


NEW KID ON THE BLOCK

SULTAN WA PWANI ni Msanii kutoka Mombasani. His real names are ALI KOMBO born in coast

He had Interest for music since childhood but started composing songs in 2003.
Anasema he recorded two songs but hakufika mahali!!

Amefanya kazi na K-SHOT of Green House Records, N.J.E wa ufuoni rec.
In 2010 was when He mate producer Mobiz from thundersound records, and thats
where he signed at, he has worked with shirko the song was okoa maisha ..with various coast artist.


Pia he worked with Rojo-mo on track by the title "Cheza Ngoma", Chikuzee na pia Sudi Boy the song: ZIKI LA NAZI which is yet to be released and was recorded by amz at S.Q records.

And now he has done his first Solo track titled SITAKI KERO.

DOWNLOAD: SULTAN WA PWANI - STAKI KERO

His personal number: 0715523986.

Kwa mengi Zaidi usikose kumskiza Sista Shaniz a.k.a Anti-Virus katika "Show Nambari Moja Mkoani Pwani™" - "Kaya Flavaz®" ndani ya RADIOKAYA 93.1Fm Msa 99.7Mlnd - "Kitovu Cha Umoja Wa Pwani ™.

No comments:

Post a Comment