Kaya Flavaz

Kwa Uhondo Wa Habari Za Sanaa Ya Mombasani.

Tuesday, May 1, 2012

RICH ONE ATAPELI MAPROMOTA AKIJIITA "ALI KIBA"



RICH ONE KITUO CHA POLISI

Aliyewahi kuwa member wa kundi la TMK Wanaume Halisi Rich One, anashikiliwa katika kituo cha polisi cha Msimbazi kwa kosa la kutumia jina la Ali Kiba kuwatapeli mapromota mbali mbali.

Msanii huyo anadaiwa ku-divert simu zinazopigwa kwa namba ya Ali Kiba na kuzipeleka katika simu yake, baada ya hapo anakubaliana na mapromota kufanya show na kupokea advance kwa kuwapa namba yake ya mpesa. Siku ya show promota anajikuta katika wakati mgumu baada ya kutokumuona Ali Kiba.
Meneja wa Ali Kiba, Frank Gonga amethibisha kukamatwa kwa Rich One.

Kwa mengi Zaidi usikose kumskiza Sista Shaniz a.k.a Anti-Virus katika "Show Nambari Moja Mkoani Pwani™" - "Kaya Flavaz®" ndani ya RADIOKAYA 93.1Fm Msa 99.7Mlnd - "Kitovu Cha Umoja Wa Pwani ™.

No comments:

Post a Comment