Kaya Flavaz

Kwa Uhondo Wa Habari Za Sanaa Ya Mombasani.

Thursday, June 14, 2012

DRAKE APIGANA NA CHRIS BROWN


CHRIS BROWN
Taarifa kutoka nchini Marekani zadai kuwa msanii kwa jina Drake kutoka kundi la YMCMB amepigana na msanii wa mwengine wa RnB nchini kwa jina Chris Brown.
DRAKE
Taarifa hizo zadai wasanii hao walkutana katika klabu moja usiku jiji New York . inadia msanii Chris Brown alinunua Champagne  na kumtuma mmoja wa wahudumu wa klabu hiyo kupelekea kinyaji hicho kwa meza ya akina Drake lakini msanii Drake akamua kurudisha kinywaji hicho pamoja na ujumbbe katika kikaratasi ( “I’m F******* the love of your life) akimaanisha msanii wa kike Rihanna.

Ghafla bin vu vuramai likazuka na jamaa hawa wawili wakaamua kuzichapa kavu kavu bila gloves za boxing.
KIDEVU CHA CHRIS BROWN BAAD AYA VURUMAI
Kwa mengi Zaidi usikose kuskiza "Show Nambari Moja Mkoani Pwani™" - "Kaya Flavaz®" ndani ya RADIOKAYA 93.1Fm Msa 99.7Mlnd - "Kitovu Cha Umoja Wa Pwani ™. 9AM - 1PM      (MON - FRI)



No comments:

Post a Comment